Dodoma. Wakati vikao vya Bunge la Bajeti ya 2023/2024 vikianza leo, baadhi ya wananchi wametaka wabunge kujielekeza katika kutatua changamoto ya ugumu wa maisha kutokana na bei...
Dar es Salaam. The government is looking for a contractor to install traffic and highways surveillance cameras along major roads in Dar es Salaam and Morogoro...
Dodoma. Suala la watoto kulala na wazazi chumba kimoja linaelezwa kuwa ni chanzo cha kushuka kwa maadili ya Kitanzania, huku umaskini ukitajwa kuwa sehemu mojawapo. Kwa...
Geita/Tarime. Matukio mawili ya mauaji ya raia yakihusisha askari wa Jeshi la Polisi, yamehitimisha mwezi uliopita vibaya, huku polisi PC 4489 Kaluletela akiwekwa mbaroni kwa tuhuma...
Dar es Salaam. Watu wanaotajwa zaidi ya 300 hawajui hatima ya mamilioni yao ya shilingi walizowekeza katika kampuni ya Bestway Capital Management (BCM), na sasa wanamwangukia...
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri akiteua mawaziri wawili Jenista Mhagama kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...
Dar es Salaam. Tanzanian startups have voiced optimism about increasing investment funding as a result of their recent meeting with US Vice President Kamala Harris, who...
Chato. Wananchi wenye hasira wamechoma kituo cha polisi Mganza, Wilaya ya Chato mkoani Geita wakipinga uonevu unaofanywa na askari polisi wa kituo hicho, wanaodaiwa kumkamata mtuhumiwa na...
Dar es Salaam. Wakati ukusanyaji wa mapato katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli ukiongezeka, kumekuwa na changamoto ya mfumo uliopo kutoruhusu kuhifadhi maji pindi yanapokatika....
Dar es Salaam. A senior officer in the Tanzania Police Force is on the run after a Sh4.8 billion bereavement fund in the Force went missing under...