Connect with us

Kitaifa

Haya hapa matokeo ya kidato cha sita 2025

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025.

Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na Katibu Mtendaji wa Necta, Profesa Said Mohamed

Bonyeza hapa kutazama matokeo ya kidato cha sita 2025.

Continue Reading

Telephone: +255 653 313 586 | Email: mhariri@chechetimes.com. | Address: 14216 Keko Magurumbasi