Connect with us

Kitaifa

Lissu atangaza rasmi kumvaa Mbowe uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu amesema haikuwa rahisi kwake kufikia uamuzi wa kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho.

Amesema tangu mwaka 2015 kulikuwa na vishawishi vya kumtaka awanie nafasi hiyo na hakuwa tayari na sasa amejipima ameona anafaa kuwania nafasi hiyo inayoongozwa na Freeman Mbowe tangu mwaka 2004.

“Ninaamini na ninapenda kuamini ninyi wanachama wenzangu nina sifa za kutosha za kugombea nafasi ya juu kabisa ya chama chetu (Chadema) yaani nafasi ya mwenyekiti wa chama Taifa,” amesema Lissu.

Continue Reading

Telephone: +255 653 313 586 | Email: mhariri@chechetimes.com. | Address: 14216 Keko Magurumbasi